Mungu Anakupanga
┬аJeremiah 29:11
Nina jua mahali uko na hali yako.
Nina jua watu, na shuguli, na kazi, na hatua ambazo nimekupangia na ambazo nimekuandalia na ambazo nime kutengenezea.
ASEMA MUNGU
Ni mahali, na hali, na watu, na shughuli, na kazi, na hatua, ambazo ni kwa faida yako, na kwa ajili ya wema wako; na sio kwa ubaya.
Ninataka kukupea kile unachotarajia, kile unacholenga, kile unachoazimia, na kile unachokitamani, katika siku zako za mbele, yani siku zijazo.
┬атАв
30th June 2026
Karai Vocational
ЁЯЧг SWAHILI
┬а┬а┬а┬а 23mins
(Edited)
https://t.me/LunchHourPreaching/12259
уАЛ Be Blessed
ЁЯОдЁЯФе
Mungu Anakupanga
┬аJeremiah 29:11
тмЗя╕П
Nina jua mahali uko na hali yako.
Nina jua watu, na shuguli, na kazi, na hatua ambazo nimekupangia na ambazo nimekuandalia na ambazo nime kutengenezea.
ASEMA MUNGU
Ni mahali, na hali, na watu, na shughuli, na kazi, na hatua, ambazo ni kwa faida yako, na kwa ajili ya wema wako; na sio kwa ubaya.
Ninataka kukupea kile unachotarajia, kile unacholenga, kile unachoazimia, na kile unachokitamani, katika siku zako za mbele, yani siku zijazo.
┬атАв
30th June 2026
Karai Vocational
ЁЯЧг SWAHILI
┬а┬а┬аЁЯСЗЁЯОз┬а 23mins
(Edited)
ЁЯСЗ
https://t.me/LunchHourPreaching/12259
уАЛ Be Blessed
0 рдЯрд┐рдкреНрдкрдгрд┐рдпрд╛рдБ
0 рд╕рд╛рдЭрд╛
13 рд╡рдЗрдПрд╡рд╕